KATIBU MKUU WA UNWTO ARIDHIA OMBI LA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO UJAO WA UTALII BARA LA AFRIKA

Na Mwandishi Wetu, Windhoek, Namibia. Katibu Mkuu wa SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Masuala ya Utalii (UNWTO), Zurab Pololikashvil ameridhia ombi la Tanzania kuwa  kuwa mweyeji wa mkutano ujao wa masuala ya Utalii Bara la Afrika  Hatua hiyo inakuja kufuatia kikao cha ana kwa kilichofanyika pembeni baina ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Damas