KATIBU MKUU WA UNWTO ARIDHIA OMBI LA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO UJAO WA UTALII BARA LA AFRIKA
Na Mwandishi Wetu, Windhoek, Namibia. Katibu Mkuu wa SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Masuala ya Utalii (UNWTO), Zurab Pololikashvil ameridhia ombi la Tanzania kuwa kuwa mweyeji wa mkutano ujao wa masuala ya Utalii Bara la Afrika Hatua hiyo inakuja kufuatia kikao cha ana kwa kilichofanyika pembeni baina ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Damas
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed